Habari zenu ndugu? Nawatakia Kila Heri na fanaka katika mwaka mpya wa 2024!!! Mungu awajalie amani siku zote, Amina
LEARN IT Latest Questions
Habari zenu walimu wapendwa? shikamoo!
0.5%=asilimia sufuri nukta tano 45%=asilimia arubaini na tano 1.15=asilimia moja nukta kumi na tano
1:moja. 6: sita 2: mbili. 7: saba 3: tatu. 8 : nane 4:nne. 9: tisa 5: tano. 10: kumi
1. Makiwa: 2. Hodi : 3 shikamoo:
Methali ina maana sawa na ile isemayo: Utumviye se na nyina yumvira ijeri.
Methali hii kwa Kinyarwanda nisawasawa na ile isemayo kwamba: ushaka inka aryama nkayo.
Pembe za dunia ni kama: kusini( South) Mashariki(East) Magharibi ( West) Kasikazini(Noth)