LEARN IT Latest Questions
0.5%=asilimia sufuri nukta tano 45%=asilimia arubaini na tano 1.15=asilimia moja nukta kumi na tano
1:moja. 6: sita 2: mbili. 7: saba 3: tatu. 8 : nane 4:nne. 9: tisa 5: tano. 10: kumi
1. Makiwa: 2. Hodi : 3 shikamoo:
Methali ina maana sawa na ile isemayo: Utumviye se na nyina yumvira ijeri.
Methali hii kwa Kinyarwanda nisawasawa na ile isemayo kwamba: ushaka inka aryama nkayo.
Pembe za dunia ni kama: kusini( South) Mashariki(East) Magharibi ( West) Kasikazini(Noth)
MAJIRA ni kipindi cha hali hewa kama vile upepo, mvua nyingi, jua kali, … katika mwaka chini Rwanda hugawika katika majira yafuatayo Majira ya masika ambayo hupatikana katika miezi ya Machi, Aprili na Mei. Majiraya Kiangazi huwa katika Juni, Julai, Agosti. Majira ya Vuli ...Read more